Achievements
Performance
Uongozi wa shule ya Eagles Hiugh School unayo furaha kuwatangazia kuwa umepokea matokeo mazuri ya mtihani wa Form 6 (ACSEE 2020) uliofanyika Juni/Julai 2020.
Baraza la mitihani la Taifa ( NECTA) limetoa matokeo ya kidato kidato cha sita mwaka 2020 kama ifuatavyo:
Kwa kidato cha sita: ACSEE_results_s2354_2020.pdf
Div: I- 13
II- 39
III- 31
IV- 03
0- 01
Katika matokeo hayo mwanafunzi Godfrey Assenga kutoka Eagles aliyekuwa akisoma tahsusi ya ECA amekuwa ni miongoni mwa wavulana kumi (10) Bora kitaifa kwa masomo ya biashara huku akishikilia Nafasi ya nane (8).
Baraza la mitihani la Taifa ( NECTA) limetoa matokeo ya kidato kidato cha pili na cha nne.
Kwa kidato cha pili: ftna_results_S2354-2019.pdf
Div:I- 09
II-14
III- 04
IV- 03
Hakuna div 0.
Kwa kidato cha nne: csee_results_s2354-2019.pdf
Div: I- 17
II- 46
III- 14
IV- 02
Hakuna div 0.
Wanafunzi 77 waliomaliza kidato cha nne wanna sifa ya kujiunga kidato cha tano mwaka huu huku wanafunzi 02 wakiwa wamepata div 4 ya point 26 ambayo wanaweza kupata nafasi ya kujiunga na vyuo mbalimbali.
Uongozi wa shule ya Eagles Hiugh School unayo furaha kuwatangazia kuwa umepokea matokeo mazuri ya mtihani wa Form 6 (ACSEE 2019).
DIVISION I 16
DIVISION II 56
DIVISION III 36
DIVISION IV 1
JUMLA 109
Top 10 Schools for Form Four Results 2017
The National examination council of Tanzania (NECTA) has released 2017 School Performance Profile scores for all Tanzania schools today 30 of January, 2018, and using that information, St. Francis Girls (Mbeya) has ranked each of the public schools and Private schools in Tanzania.
THE Ministry of Education and Vocational Training has honoured Eagles Secondary School as best school for its outstanding performance in the national examination results for Form Four in 2013 and 2014, it has been revealed.
Former Education Minister, Dr Shukuru Kawambwa.
Former Education Minister, Dr Shukuru Kawambwa issued three awards, two golden trophies and certificate of commendation, to the school as the Best Performing School for the year 2013 and Best Performing School for Non Government Schools for the year 2014.
The School Manager, Mr Francis Tabaro, said in a statement issued in Dar es Salaam yesterday that the District Education Officer, Ms Eliza Ngonyani, handed over the two awards to the school management on behalf of Dr Kawambwa, at a colourful function held in the city two weeks ago.
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA (NECTA) - MATOKEO 2013
CSEE 2013 EXAMINATION RESULTS
S2354 EAGLES SECONDARY SCHOOL
http://www.tanzania.go.tz/matokeo/CSEE%202013/s2354.htm
NECTA's 2013 results confirm the firm path that Eagles Secondary School has taken towards national excelency. With a GPA score of 2.1503, Eagles was ranked 30 (out of 3256) in the Nation and 3 (out of 105) in Pwani Region, just behind Marian Boys and Girls at 1 and 2 respectively, ahead of Kibaha and Baobab at 4 and 5.
Special mention is made of our flying young Eagle called Hamisi Msangi who was in the National top 10 for Boys. The teachers recall Hamisi coming to the Aptitude Test with his Dad and his "sanduku" on his head, sure he would pass!