Top News

Various pictures from the recent graduation ceremony for form VI students 2019, which took place at Eagles High School (EHS) on Saturday 6th of May 2019. Students wearing t-shirts are the form-six graduates enjoying this important day.

Eagles High School is now transforming from using chalks and papers and start using ipad connected with the internet. Form one and form two will be the pioneer of this program and the plan is to have the whole school using this technology.

e learning at eagles high school 2019 02 14
On the picture: Eagles High School teachers sharing skills with E-Learning facilitators on how to teach using iPad.

EAGLES HIGH SCHOOL was registered by the Government in 2006 as a Boys’-only-Boarding-only Secondary School teaching the National curriculum. It began with only 26 Boys in the same year, reaching its peak of 573 students in 2016. It entered its first O-level NECTA examinations with 31 candidates in 2009, going to A-level immediately as its initial seed capital. It entered its first ACSEE examinations with 61 candidates in 2012. During its short 12 years’ life, EAGLES has contributed to the Nation’s stock of human capital by pouring a cumulative total of 647 students into A- level and 489 young men into University.

logo eagles secondary school Asset 1

At the micro-level, EAGLES has reported some superlative outcomes including placing our Boys into the National Top 10, twice, No. 10 in 2015 and No. 8 in 2017. Looking at individual subject, EAGLES placed National No 3 in in Kiswahili in 2011, No. 1 in Commerce in 2014; and No. 04 in ICT, twice, in 2013 and 2014. EAGLES attained its highest placing as National Number 30 in 2013 and 2014.

We are pleased to announce that with Government approval, a new School Manager has been appointed, Eagles High School Limited whose mandate shall be operation of the School as its sole business and the School has been rebranded as EAGLES HIGH SCHOOL.

Na Andrew Chale, Bagamoyo. / ZanziNews

Baadhi ya wahitimu wa FormIV 2018 wa Shule ya Sekondari ya Eagles
Baadhi ya wahitimu wa kidato cha Nne wa Shule ya Sekondari ya Eagles wakiwa kwenye Mahafali yao ya 10, yaliyofanyika mwishoni mwa wiki Oktoba 6, Mjini Bagamoyo, Mkoani Pwani.

Shule ya Sekondari ya Eagles ya Mjini Bagamoyo Mkoani Pwani imefanya sherehe za Mahafali yake ya 10 na kuzindua rasmi mfumo mpya wa menejimenti ya shule ambao utasaidia wazazi kufuatilia maendeleao ya Watoto wao kwa ukaribu zaidi.

Akizundua mfumo huo sambamba na kutoa neno kwa wahitimu 71 wa kidato cha Nne wa shule hiyo mwishoni mwa wiki Oktoba 6,2018, Mgeni rasmi Mkaguzi na mdhibiti wa elimu bora Wilaya ya Bagamoyo Bwana. Davis Moye amewataka kuzingatia maadili sambamba na kujiandaa vyema kwa mitihani yao hiyo ya kuhitimu.

Akitoa neno kwa wahitimu hao: “Mjiandae vyema na mtafanya vizuri kwenye mitihani yenu. Pia niwapongeze kwa Eagles kuja na mfumo huu ambao utasaidia Wanafunzi na walimu kufanya mambo kifanisi zaidi.” Ameeleza Bwana Davis Moye.
Hata hivyo, amewataka Wazazi kufuatilia na kuwa karibu na watoto wao ili kubaini mapungufu kwa hatua ya kuyatatua.

Nae Mwenyekiti wa Bodi wa shule hiyo, Bi. Eva Fumbuka amejivunia kufanya vizuri kitaalum huku lengo kwa shule hiyo ni kuwa shule bora Kitaifa.
“Eagles mwaka 2006, ilikuwa ya kwanza kwa wavulana tupu kwa Wilaya ya Bagamoyo. Leo mahafali ya 10, matamanio yetu ni kufikia nafasi za juu zaidi kitaifa.
Eagles tumefanikiwa kutunukiwa vyeti vya shule bora kwa muda wa miaka tatu mfululizo na kwa kipindi cha miaka tano.
Pia ni mara ya tatu kupata mwanafunzi bora kwenye 10 bora ya kitaifa” alieleza Mwenyekiti huyo wa Bodi.

Kwa upande wake Meneja wa shule hiyo, Bwana. George Fumbuka amewashukuru wazazi kwa kuwaamini na hivyo wataendelea kufanyia kazi mapungufu huku wakitarajia kuanzisha kozi zaidi shuleni hapo ili kuendana na matakwa ya Nchi. “Kwa sasa tunakuja kufundisha lugha za Kifaransa, kiarabu na Kichina. Mafunzo ya kilimo, Kareti, vipaji na muziki vyote hivi vitapatikana hapa Eagles” alisema Meneja huyo wa shule.

YouTube TV icon small
https://youtu.be/zpfbVnqSyx0

Na Mtanzania Digital - October 8, 2018

ESS mahafali formIV 2018b
Mgeni rasmi Mkaguzi na mdhibiti wa elimu bora Wilaya ya Bagamoyo Bwana. Davis Moye akiwa kwenye picha ya pamoja na wahitimu wa kidato cha Nne wa Shule ya Sekondari ya Eagles wakiwa kwenye Mahafali yao ya 10, yaliyofanyika mwishoni mwa wiki Oktoba 6,Mjini Bagamoyo, Mkoani Pwani.

Shule ya Sekondari ya Eagles ya Mjini Bagamoyo Mkoani Pwani, imefanya sherehe za mahafali yake ya 10 na kuzindua rasmi mfumo mpya wa Menejimenti ya Shule ambao utasaidia wazazi kufuatilia maendeleao ya watoto wao kwa ukaribu zaidi.

Akizundua mfumo huo sanjari na kutoa neno kwa wahitimu 71 wa kidato cha nne wa shule hiyo, mgeni rasmi Mkaguzi na Mdhibiti wa Elimu Bora Wilaya ya Bagamoyo, Davis Moye amewataka kuzingatia maadili na kujiandaa vyema kwa mitihani yao hiyo ya kuhitimu.

“Mjiandae vyema na mtafanya vizuri kwenye mitihani yenu, lakini pia nitumie nafasi hii kuwapongeza uongozi wa Eagles kuja na mfumo huu ambao utasaidia wanafunzi na walimu kufanya mambo kiufanisi zaidi,” amesema Moye.

Hata hivyo, amewataka wazazi kufuatilia na kuwa karibu na watoto wao ili kubaini mapungufu kwa hatua ya kuyatatua.

Naye Mwenyekiti wa bodi wa shule hiyo, Eva Fumbuka amejivunia kufanya vizuri kitaaluma na kuongeza kuwa lengo la shule hiyo ni kuwa shule bora kitaifa.

“Eagles mwaka 2006, ilikuwa ya kwanza kwa wavulana kwa Wilaya ya Bagamoyo, leo katika mahafali ya 10, matamanio yetu ni kufikia nafasi za juu zaidi kitaifa.

Tangazo la Sekondari ya Eagles. Watumie na marafiki zako!

Staff members from Eagles Secondary School in collaboration with Kawe Jogging Social Club, participated in the 5th Bagamoyo Historical Marathon, which was held on Sunday, 29th July 2018. Their participation in this event is part of their school's efforts to compliment government efforts in promoting sports and tourism in the country for the development of Bagamoyo town and for the benefit of the people of Tanzania at large.

EaglesSS participants to BagamoyoMarathon mainpic 2018 07 29